Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Naona El Matador(Cavani) anaingia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka baada ya lile tukio kuna sheria zilibadilishwa. Ukizua mpira kwa kuudaka au kuupangua kama vile makusidi mpira uliokuwa uingie golini. unaliwa red na linahesabika ni goal sio penalty.Hata Interview zake nyingi huwa anasema....
Kukosa ile penalty bado kunamuumiza sana..
Yule Mpuuzi mmoja Luis Suarez alivyofurahi....Binafsi sijawahi kusahau usiku wa ile siku.
Mi sina uzalendo, nampa Portugal ashinde, sitaki msongo na sononaCan’t wait game la Ghana aiseee
Moyo wangu bado umejazwa na ile Ghana ya 2010
Yan Senegal na Ghana
Waharibu wasiharibu,, nawapenda tu mimi
Yaani probabilities zilivyoshuka hadi raha:Kbs kwa sbb alisema kuliko huyu mpuuz afunge goal la wazi ivi bora nishike ipigwe tuta akijua tuta kuna proba ya 50/50 anaweza pata au kukosa.. Bas bet yake ikatiki akakosa.
Hakika alifikiria sana na ikaturn out vzr upande wao.Yaani probabilities zilivyoshuka hadi raha:
Penalty mzeya sio 50/50. Penalty ni 75/100
Ngoma ilivyoenda matuta na uruguay kwin toss kiwa wataanza kupiga chances za ghana zikashuka mpaka 40% chance.
Hesabu kali sana alipiga suarez...he is a genius
Hata Interview zake nyingi huwa anasema....
Kukosa ile penalty bado kunamuumiza sana..
Yule Mpuuzi mmoja Luis Suarez alivyofurahi....Binafsi sijawahi kusahau usiku wa ile siku.
Tukae woteHakuna timu ya Africa hata moja itafuzu makundi, nimekaa pale[emoji3486]
Wengi tunaingojeaCan’t wait game la Ghana aiseee
Moyo wangu bado umejazwa na ile Ghana ya 2010
Yan Senegal na Ghana
Waharibu wasiharibu,, nawapenda tu mimi
U,alendo wapi bwana hapa ni kiwango tuu. Wee muue tuu ghana hana mpira wakushinda dhidi ya portugalMi sina uzalendo, nampa Portugal ashinde, sitaki msongo na sonona
Wakuu game ya Brazil saa ngap.pia game ya Ghana saa ngapi
Halafu hajawahi hata kutuomba msamaha yule umbwa😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Hatari sana jamaa asije africa kabisa. The man who denied africa a spot in the semi finals..
Acha tu....Pole...Ile siku nililia
Cavan in....Suarez out
El Matador in
Kha yaani mnalia ghana kifungwa hamlii taifa stars ikifingwa jamani uzalendo upo wapi🤣🤣🤣🤣🤣Ile siku nililia
ShikamooAcha tu....Pole...
Nampa Cr7 afunge muda wowoteU,alendo wapi bwana hapa ni kiwango tuu. Wee muue tuu ghana hana mpira wakushinda dhidi ya portugal
Taifa starz🤗🤣🤣🤣🤣Kha yaani mnalia ghana kifungwa hamlii taifa stars ikifingwa jamani uzalendo upo wapi🤣🤣🤣🤣🤣