Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Yaani probabilities zilivyoshuka hadi raha:
Penalty mzeya sio 50/50. Penalty ni 75/100

Ngoma ilivyoenda matuta na uruguay kwin toss kiwa wataanza kupiga chances za ghana zikashuka mpaka 40% chance.

Hesabu kali sana alipiga suarez...he is a genius
Kwa kitendo kile kule kwao alikuwa shujaa....wakati Africa tulimuona Kama shetani
 
Timu za afrika sasahivi zinapambana kufunga angalau goli tu...ngoja tumuone ghana
 
Mpaka baada ya lile tukio kuna sheria zilibadilishwa. Ukizua mpira kwa kuudaka au kuupangua kama vile makusidi mpira uliokuwa uingie golini. unaliwa red na linahesabika ni goal sio penalty.
Afadhali..

Maana kama Suarez hakufanya vile ile siku Ghana na Africa tulikuwa tunapata goli kabisa...
 
Back
Top Bottom