Na hao ndio watacheza finalNataka nikisome kikosi cha Brazil na Argentina hao ndo favourate kwa sasa. 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao ndio watacheza finalNataka nikisome kikosi cha Brazil na Argentina hao ndo favourate kwa sasa. 😆
Jamaniii dah!I feel sorry kwa Karim BenzemaView attachment 2421666
KaribuCan I join u there???
Naomba kuja kuangalia na weweMubasharaaa World Cup
2010 [emoji736] nilikuwa mubashara nyumbani enzi za sekondari.. lilinitokaga chozi baada ya Asamoah Gyan kuvuruga 🥲
2014 sikuwa mubasharaaa
2018 nilikuwa mubashara chuo
2022 niko mubasharaa ghetoo [emoji1732]
Shabiki ile ilee dada 🔥🤸Kumbe na ww shabiki kindakindaki,mi ya 2018 sikupenda timu zote zilizoingia fainali maana nilitamani kati ya Argentina au brazil
Pop corn zina box nikajua box la randomlyKaribu
Uje na box la popocorn
Nilkuambia mkuu, mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbuOkrah yuko wapi si makolo walitamba humu kuwa wamesajiki chezaji la Wedi Kapu?
Saa 11 jioni
Maoni yako yamewafikiaMods ikiwapendeza uzi uunganishwe na ule wa mkuu Greatest Of All Time
Nb .uwe live
Ni mawazo yangu tuu
Yaani iko hivi kwa Greenwhich meridian Time (GMT) ni saa 8 mchana huu, Indian standard Time (IST) ndio saa 7:30PM inamaana kwetu EAT ni saa 11:00 jioniSi wamesema masaa yanaendana? Pale juu nimeona mechi ya ufunguzi saa 7 au ?
Sherehe ni saa 11 jioni wakati mechi ni saa moja kamili usikuSi wamesema masaa yanaendana? Pale juu nimeona mechi ya ufunguzi saa 7 au ?
On my wayKaribu
Uje na box la popcorn
Ngoma ya watoto haikeshiWazee mimi niko SpainView attachment 2421673
JidanganyeNgoma ya watoto haikeshi