Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Cc ni laana kwa taifa hili
 
hata uwalete Brazil kwa Belgium wana lala , hawa Belgium watasumbuliwa na timu chache za Ulaya tu , nje ya hapo kombe ana libeba mapema mno
 
Umenikumbusha machungu
 
Msijifaliji hii Ghana Ata somalia haiwafungui ngoja tuwape ukweli tu japo mechi ya mwisho kati ya ureno na Ghana mwaka 2014 kweny kombe la Dunia Ghana alikufa mbili moja Ghana ndio timu mbovu kushiriki kombe la Dunia kutoka Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…