Cc ni laana kwa taifa hiliItv enzi hzo japan Korea 2002 na Paris France 1998
ITV Enzi hzo ndio walikuwa wanaturushia matangazo yote ya world cup BURE KBSAA sijui wamekwama wapi wakongwe Hawa
kombe hili sas HV wilaya nzima ya kiteto inaoneshwa sehemu mmoja tu ofc za ccm
Nikaenda simanjiro pia inaoneshwa sehemu moja tu mrangi mmoja ndio anaonesha
Na mm ndo naisubiria nadhani ni saa moja... halahala tusitandikwe tuuKwa leo labda Ghana Beshti....
Wewe?
Nahis wanataka kuwacontain Ureno hlf wawe wanapiga counter.. Wakitegemea speed ya inaki na ayewHuu mfumo naona ni wa defend sana
Japo ngoja tusubiri kabumbu
Hakika.Yah....Nilimsikia pia....
Yale mambo ya kujilaza kupoteza muda Yatapungua...
hata uwalete Brazil kwa Belgium wana lala , hawa Belgium watasumbuliwa na timu chache za Ulaya tu , nje ya hapo kombe ana libeba mapema mnoUreno hawana mkufunzi, wana muhuni aliyezeeka.
Unapokuwa na kizazi cha wachezaji aina bernardo silva, bruno, vitinha, pedro concalves, rafael leao, joao felix, ruben neves, ronaldo, palhinha, cancelo n.k
Silaha pekee unayohitaji ni muunganiko.
Wameniangusha sana kiuchezaji kwenye michuano ya EURO.
hii timu wangelimpa mourinho au amorim wa sporting lisbon japo kwa mwezi mmoja.
Kikosi kipo mkao sana, kama watacheza kimbinu hii game watashinda.1st 11 [emoji1201]View attachment 2426361
1st 11 [emoji1201]View attachment 2426361
Rafel leao Bora hajaanza1st 11 [emoji1201]View attachment 2426361
Kwanini umeamua kujitakia stress za bure mkuuTeam Ghana 🇬🇭
Black Stars...
The land of Gold...
Gold is the New Black...
André Ayew ❤
Umenikumbusha machunguBila Suarez Kujifanya Kipa aka-Punch ule Mpira Ghana ingekuwa inaingia Hatua Nyingine sababu alikuwa last man na ule mpira ungeingia nyavuni ilishakuwa extra Time; Kwahio kwa wa-Africa alikuwa ni Traitor (wa the Beautiful game) ingawa Uruguayans (La Celeste (The Sky Blue)) watasema otherwise.... (alikubali kupewa Red Card ili kuipa Timu yake Chance ya kuendelea..., Binafsi mimi naona Big Cheat alikuwa Gary Lineker aliye-dive kwenye Mechi na Cameroon hence kuwapatia England Penalty...