Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Attachments

  • Screenshot_20221124-200100.jpg
    Screenshot_20221124-200100.jpg
    49.2 KB · Views: 1
Kwa team km ureno yenye talent black star amecheza vizuri
Ingekuwa Ronaldo na his Shooting Boots, au enzi za Kina Figo au Ronaldo wa Yesteryear sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine; au Ghana ya kina Muntari na Essien wangeweza kwenda Toe to Toe na hawa jamaa hakuna cha kutisha hapa....

Tukubali tu mwaka huu Afrika ni kutegemea tu lady luck, ile uwezekano mkubwa ni wasindikizaji, sisemi kwamba tushinde hapana (at least try); give your all....
 
Back
Top Bottom