Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Ghana wameanza vizuri kipindi cha pili. Sema kufunga ndo vigumu. Watapigwa counter attack hawataamini. Watajutia nafasi wanazokosa wakifika huko karibu na goal.
 
Ingekuwa Ronaldo na his Shooting Boots, au enzi za Kina Figo au Ronaldo wa Yesteryear sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine; au Ghana ya kina Muntari na Essien wangeweza kwenda Toe to Toe na hawa jamaa hakuna cha kutisha hapa....

Tukubali tu mwaka huu Afrika ni kutegemea tu lady luck, ile uwezekano mkubwa ni wasindikizaji, sisemi kwamba tushinde hapana (at least try); give your all....
Ghana ya muntari, essien, appiah,gyan,kwado,silva,boateng ilikua htr sn.
 
Back
Top Bottom