ππππ si ukakimbia kwenywe kile kijiwe cha selβ¦.Long time sana asee natumaini uko poa. Hapo sawa sasa. Ila sijuagi uliwaza nn kushabikia Chelsea π€£π€£
Mkuu Poker umeanza kufukua makaburi tena
Harakati tuu za hapa na pale. Ila nitakuwa napita kuwasalimu kule..ππππ si ukakimbia kwenywe kile kijiwe cha selβ¦.
Ya Chelsea yalienda na Tuchelπ
πππ Hawa wahuni walituoshea kinoma 2014.Nawakumbusha wabrazili wote mjue chama pendwa Tanzania ni Germany ambalo ndilo lililo tuletea jina la Tanganyika.View attachment 2421924
Hii ndio ile mechi Brazili walipigwa saba
Jamaa kanishangaza kweli inaonekana hafuatilii trend ya soka. Yaani utopolo Ujerumani hii ya sasa ikaifunge Brazil? Jamaa anaota sio bure au anadandia na kufuatilia mpira kwa msimu.
Endelea kusubiri zitakufuataToa statistics otherwise hujui mpira
I feel sorry kwa Karim BenzemaView attachment 2421666
Ronaldo de Assis Moreira "Ronaldinho Gaucho" Mwamba alikuwa na uwezo wa kubadili tabasamu lake likaonekana bora kuliko goli alilofunga.Yani toka elfu mbili na ushee nashabikia brazil enzi hizo kina kaka,kina Rivaldo,kina carlos tevez,kina ronaldinho,kina wengii kwa kipindi tofauti tofauti. Ronaldo de Lima alikua na sura personal lakini tulikuwepoo. [emoji38]
Sasa kamati ya roho mbaya tunakuchawia. Nilikua napiga utabiri atabeba Argentina ila sasa upepo umegeuka. Habebi kombeMungu wasaidie Argentina wabebe kombe tusijekosa ushahidi wa kukieleza kizazi kijacho kuwa Lionel Messi ndio mchezaji bora kuwai kutokea katika hii sayari ilihali Hana hata kombe moja la Dunia... Japo kwa wakati huu tu simama na Argentina simama na Messi tunafahamu Wana uwezo wa kuchukua kombe kutokana na ubora wa kikosi Chao shida mpira una tuvitu vitu Sana ndio Maana tunakuomba usimame nao
Wewe wakati team inatoa dozi ulikuwa wapi?? Unakuja kusituka litimu limejifia tayari [emoji28]Les blues [emoji1179] tutatoa dozi mpaka mchanganyikiwe.View attachment 2421944
AiseeSasa kamati ya roho mbaya tunakuchawia. Nilikua napiga utabiri atabeba Argentina ila sasa upepo umegeuka. Habebi kombe