United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Kocha wao Hana akili yule kamuazisha Bruno,joa Felix na bernado, timu ilikosa balance afu anamuacha nje Rafel leaoPamoja na yote Ghana wamejitahidi, bora wao wamevunja mwiko wa magoli kwa Africa.
Sasa tunaiombea Brazil ... #teambrazil#
Mkuu bado hujauona ubora wa michuano ya safari hii mpaka sasa??!!In terms of what?
Sidhan leao angeanza ndio kungekuwa na kapu leoNimekasirika Ronaldo kutolewa mapema
Angacheza mwanzo mwisho yangefika mabao matano
π€£π€£ almanusurua yamchomokeUmemuona ronado alivyotoa macho π
Andre Ayew hakustahili kutoka angeachwa apige dk zote 90Sub za kijinga hii mikocha sometimes inagharimu sana
We are in this together....Vivaaa AfricaYaaan kuishabikia Ghana na Senegal ni by hook and crooks β£οΈπ€Έ
Uwezo wao wa kulifikia lango la mpinzani na kufunga bao mbili kwa Ureno, dhahiri kuwa wana uwezo kuliko wengine mpaka sasa..Ila Kocha amechemka sana kwenye Sub..!Ila Hawa Ghana wapo vizuri kuliko timu zingine zote za Africa
Tunajua sio team zote zinatakiwa kufika mbali, kombe ni moja tu.Ila ureno hawafiki mbali na cr7 wao
Hata ile penalti ilikuwa ni laini sana. Sidhani kama ni penaltiKumbe wanafungika tuu bwana
Yan anafika tu nje wanalambwa πAndre Ayew hakustahili kutoka angeachwa apige dk zote 90
Yeah kund bado lipo wazi. Hpo tuombe mech inayofuata ghana ashinde hlf ureno na uruguay watoke draw. Ili mechi za mwisho ziamueMi nimepata amani na furaha at least gape la magoli sio kubwa
Daaaah ndo vile tena sisi wa Taifa teule ngoja tusikilize kwny redio..eti wanatangaza kwa redio TBC taifa π π π π π π π π π π πWoyoooo mabitoz hao hapoo wanashuka kwenye kibus
Wamepambana kiumeHii game ilikuwa ni ya kusisimua sana, so far Ghana imeonyesha uhai kati ya team zote za Africa.
Wamecheza vzr sana.. Kocha wa Ghana kafanya blunder sana zile sub nilikua namsikilizia hapa Asamoah Gyan studio anasema hakuelewa kwnn kocha alifny sub mda ule wkt kuna presha na team ndo imetoka tu kusawazisha Yan kocha kafanya tactical blunder kubwa sana.Hii game ilikuwa ni ya kusisimua sana, so far Ghana imeonyesha uhai kati ya team zote za Africa.