Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Daaaah ndo vile tena sisi wa Taifa teule ngoja tusikilize kwny redio..eti wanatangaza kwa redio TBC taifa πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
Mbona hawako serious hivyo 🀣🀣
 
Kocha wao Hana akili yule kamuazisha Bruno,joa Felix na bernado, timu ilikosa balance afu anamuacha nje Rafel leao
Tumsamehe tu, nafikiri atakuwa kaona makosa yake, mechi ijayo na South Korea kutakuwa na mabadiliko makubwa. Bado nina imani na Black Stars.
 
Huyo Gyan atulie tuliii, yeye kasahau kama alianza kushangilia goli kabla mpira haujaingia kimiani wakati ule anapiga penati vs Uruguay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…