Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Yani toka elfu mbili na ushee nashabikia brazil enzi hizo kina kaka,kina Rivaldo,kina carlos tevez,kina ronaldinho,kina wengii kwa kipindi tofauti tofauti. Ronaldo de Lima alikua na sura personal lakini tulikuwepoo. [emoji38]
Hahaha.Mimi mdada akishabikia Mpira nafurahi sana, huyo Carlos Tevez ni Muargentina, labda kama ulimmaanisha Roberto Carlos [emoji23]

Ila Big up
 
Brazil wanatimu kali sana na group simple sana watafika ata fainali ila kuna vijana mule hawajitambui wakileta utoto tena safari hii watazngua sana aswa yule dogo neema uwa ana utoto sana
Ameonywa sanaaaa...ameambiwa kabisa aache u childish[emoji23]
 
Hahaha...Mimi mdada akishabikia Mpira nafurahi sana, huyo Carlos Tevez ni Muargentina, labda kama ulimmaanisha Roberto Carlos [emoji23]

Ila Big up
Oooh yess umeonaa ee tuvumilieni tuu kaka zetu πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† eee yule mwenye vigimbii mfupi kweli kweli
 
Mc Garab ni misuti yake ile kashafika huko?
 
Mungu sikia kilio chetu baba.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…