Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
France na German hawafiki hata robo fainali tupo hapaWANAOTABILIWA SANA KUTWAA WC NI
1.BRAZIL
2.ARGENTINA
3.FRANCE
4.GERMANY
Na underdogs wa WC Mwaka huu ambao wasipokaa kitaalamu wataondoka bila point ni
1.QATAR
2.IRAN
3.SAUDI
Timu kutoka Africa inayoweza kufika hatua ya mtoano ni SENEGAL PEKEE
Kombe la Dunia mwaka huu ni kama nafasi ya pekee kwa Messi kukamilisha sifa yake kama Mchezaji bora wa dunia ashindwe mwenyewe tu , sema Brazil wamependelewa[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app