Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Spanish guitar
IMG_20221123_212244.jpg
 
Hata PSG fainal UEFA kawakosesha ubingwa kwa utoto wake na hata mechi ya UEFA iliyopita waliyotolewa na Real Madrid akimleta utoto sana langoni na kuchelewesha mashambulizi mpaka kutolewa.
Ata kulaumu game ya UEFA final mbape clear chance anampa Nuer

Unamlaumu vipi Neymar?

Game na Madrid kachoma Dounaruma unamlaumu.vipi Neymar?

Ubaya mmekalili kuwa Neymar vyenga so timu ikizungua ni neymar

Izo ni mentality za wabongo ila EUROPE

Wanajua impact ya Neymar uwanjani ndo maana hutoona ney Anawekwa bechi ata azingue vipi
 
Ata kulaumu game ya UEFA final mbape clear chance anampa Nuer

Unamlaumu vipi Neymar?

Game na Madrid kachoma Dounaruma unamlaumu.vipi Neymar?

Ubaya mmekalili kuwa Neymar vyenga so timu ikizungua ni neymar

Izo ni mentality za wabongo ila EUROPE

Wanajua impact ya Neymar uwanjani ndo maana hutoona ney Anawekwa bechi ata azingue vipi
Mim mwenyewe watu nawashangaa Neymar ndio uchezaji wake sjui wameanza kumuona Leo Ata akiwa Santos na Barcelona alikua anakaa na mpira mguuni na Neymar mpira mguuni mwake hakuna wakumnyanga labda upige kiatu tu jana kafanya kazi yakupnguza ngome kutokea katika ya uwanja hadi wachezaji wawili walipigwa kadi za njano ila nashangaa watu wanakwambia Neymar kacheza vibaya
 
Back
Top Bottom