9 mkuuDakika ngapi za nyongeza zimeongezwa?
Kuna dalili za Wales kupata goli kweli hapo?9 mkuu
Kumbe ninaujua mpira. Naona Refa kafuta ya njano na kaweka red. VAR iishi daima. Ninamlaumu sana refa wa jana Portugal vs Ghana kutokuangalia VAR
Hamna Iran wako motoKuna dalili za Wales kupata goli kweli hapo?
Bonge ya goal Bonge ya bombaa..
Nimefurah sana Iran kushinda ili game yao na USA iwe ya kufa mtu[emoji23][emoji23]
Bora mashoga wamepigwa