Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Chanceeee.......wide. iran wanakose tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo. Mazingira sio rafikiHivi bale yupo Wales?
Hivi bale yupo Wales?
Wamekosa sana magoal watajutia wnyw tuWachezaji wa iran wana nini kichwani
KabisaKumbe ninaujua mpira. Naona Refa kafuta ya njano na kaweka red. VAR iishi daima. Ninamlaumu sana refa wa jana Portugal vs Ghana kutokuangalia VAR
Asante, Dah mdau big up sanaa.Nenda kajisajili kwanza kwenye website yao ndio urudi utumie app
Yule wa Ureno alikua mhuni kbs Yan akakataa kata kata kwnd kuangalia.. Yan vitu vingne vinaleta sana waswas ya rushwa kbs.Kumbe ninaujua mpira. Naona Refa kafuta ya njano na kaweka red. VAR iishi daima. Ninamlaumu sana refa wa jana Portugal vs Ghana kutokuangalia VAR
Wales mkuu.Iran wanakula Umeme, red card.