Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

I agree with you
Magoli yote matatu ya Portugal yalikuwa offside (angalau goli la Joao Felix linaweza kuwa na debate , lakini goli la Raphael Leao iko wazi ni offside, ebu angali hizi picha na refa hakutaka hata kutumia VAR. Tutaendelea kuchezewa michezo ya kitoto Afrika hadi lini.
 
FiY7Sd_XwAAPf44.jpeg.jpg
 
Hizo timu zilizofunga magoli mengiii hazifiki robo fainal including Spain
Spain wataenda kufia mbali. Only brazil & France ndio wanaweza kumchalenge Spain.

Individual, team work, na technically brazil na France ndio wanaweza kuwa sawa na spain. Hawa kina german, portugal, england ni mavuvuzela kelele kibao kama nguruwe waliona ndoo ya makombo.

Mabingwa ni kati ya Spain, France au brazil. Waliobakia wasindikizaji
 
I thot ilikuaga hivo tangu zamani,inashangaza hawakufikiria hivi mapema. So zaman walkua wanakadiria tu au?
Walikuwa wanakadiria muda kidogo sana, say dakika kama 3 au 4 hivi.
Jaribu kufukiria muda unaopotea ktk kutibu majeraha, substitutions, mikwaju ya penalti, kutoa kadi na, haswa, muda mrefu unaopotea ktk kushangilia baada ya kupachika bao wavuni.
 
MD1 is complete.

Which nation impressed you the most during the first round of fixtures? [emoji2956]

#FIFAWorldCup


Me: Ghana, Saudi Arabia, Japan
France, Spain, Brazil wana vijana wazuri mno wenye vipaji vya soka la kisasa.
 
Back
Top Bottom