Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Bila shaka utakuwa unaangalia kupitia TibisiHawa watu weusi aisee unaweza fikiri wameoga rami[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka utakuwa unaangalia kupitia TibisiHawa watu weusi aisee unaweza fikiri wameoga rami[emoji23][emoji23]
Hawana vibe kabisa.Wenyeji wamekaa jukwaani na kanzu hawageuki wala kutikisika
Wachezaji wao wanakuwa km wapo ugenini
Afrika Magharibi weusi sana wakiongozwa na SenegalHawa watu weusi aisee unaweza fikiri wameoga rami[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Afrika Magharibi weusi sana wakiongozwa na Senegal
Saudi Arabia wanapenda sana mpira na nimachizi wa mpira na endapo watafuzu hatua za mtoano wameahidiwa private jet kila mchezaji. Sasa hapa bongo diamond amenunua rolls Royce used tunamuona kama mwana mfalme 🤣Hivi ni matajiri eeh
Duh sio Kwamba TBC ipo Africa na Senegal ni Africa au ?Afu wanaiombea qatar ifungwe wakati sio kaz yao
Mmh ya kweli hayaSaudi Arabia wanapenda sana mpira na nimachizi wa mpira na endapo watafuzu hatua za mtoano wameahidiwa private jet kila mchezaji. Sasa hapa bongo diamond amenunua rolls Royce used tunamuona kama mwana mfalme [emoji1787]
Tanzania mko na weusi wa mchongoHawa watu weusi aisee unaweza fikiri wameoga rami[emoji23][emoji23]
Nmesikia hapa mtangazaji mmoja anasema Qatar wapigwe tuDuh sio Kwamba TBC ipo Africa na Senegal ni Africa au ?