Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Nmesikia hapa mtangazaji mmoja anasema Qatar wapigwe tu

Mchambuzi hatakiwi kua na ushabiki
Ushasikia watu wakitangaza timu zao hapo ni wao na sisi wakifungwa wanaanza kuongelea maisha ya wachezaji wala sio mpira tena...

Utasikia huyu beki wetu ana mbuzi wanne na bata mzinga watatu, anamiliki hekari nne za mpunga (hapo ujue washapigwa kama tano) na kama vipi matangazo yanakatika ghafla watu wanaburudika na muziki...

Kwenye ligi za kawaida sawa ila issue kama hizi uzalendo ndio wenyewe (ushibikia wenzako) unaweza pigiwa simu na boss ya kupewa likizo au mashabiki kupiga simu na kukutukana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…