Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kutokujua haihalalishi uzembe wake wa kushindwa kudaka.Hata dana dana 2 hujui kupiga
Unajuaje kama mpira ulifika mkononi ukiwa wa moto ndio maana akautema?
Em huko
Zimeongezwa 6Ndo hapo sasa.Dakika za nyongeza zitakuwa 12
Senegal wakitaka kupita hili kundi washinde kwa tofauti ya goli tatu dhidi ya qatar ,ili mechi ijayo na ecuador atafute sare ili asonge mbele
Kwa maana ecuador hawezi kumfunga holland hata siku moja.
Eti Ishmail Mohamed,e eehHuyu mtangazaji wa TBC comedy sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti Ishmail Mohamed,e eeh
Anapiga chenga mpaka anashtua na vijoti humohumo[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mmmh, ila mashabiki bwana. Hivi mnaangaliaje mpira? Mendy ana kiwango cha mashaka?Ila huyu Mendy kiwango chake huwa cha mashaka Sana, sijui hata pale Chelsea alifikaje.
Ooh babe boyyNeymar Jr atakosa mechi zilizobaki za hatua ya makundi vs Cameroon na Uswisi. Pigo kidogo kwa wacheza samba, ila fursa sasa kwa Antony.View attachment 2427325
Kwa hiyo safari yake kwenye kombe la dunia ndio imeishia jana?Neymar Jr atakosa mechi zilizobaki za hatua ya makundi vs Cameroon na Uswisi. Pigo kidogo kwa wacheza samba, ila fursa sasa kwa Antony.View attachment 2427325