Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
😏Ooh babe boyy
Kumbe aliumia sanaaa
Dah kahandsome ketu 😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😏Ooh babe boyy
Kumbe aliumia sanaaa
Dah kahandsome ketu 😍
Kwa sasa tuombe Ecuador apigwe 3 bila na Uholanzi baada ya hapo tuje tumkazie tutoe drooSenegal wakitaka kupita hili kundi washinde kwa tofauti ya goli tatu dhidi ya qatar ,ili mechi ijayo na ecuador atafute sare ili asonge mbele
Kwa maana ecuador hawezi kumfunga holland hata siku moja.
Atakosa mechi mbili ila wakifika mtoano atakuepo!Kwa hiyo safari yake kwenye kombe la dunia ndio imeishia jana?
PoleniHivi nyie mashabiki wa Timu za Afrika mlidhani sisi Waarabu wa Qatar tungeweza kufanya maajabu yoyote kwenye michuano hii ya Kombe la Dunia..!
Tumeandaa tu lakini hatuna uwezo wowote uwanjani..!
Kwa mechi zilizobak za Brazil me naona ni advantage kwao wacheze bila yy.. Sometimes anakera sana kua na mambo meng sehem zngne unnecessary.Neymar Jr atakosa mechi zilizobaki za hatua ya makundi vs Cameroon na Uswisi. Pigo kidogo kwa wacheza samba, ila fursa sasa kwa Antony.View attachment 2427325
Watukopeshe huku jamaniAiseeeeh! Watu bado wanasherekea cjui wakitwaa ubingwa itakuaje?View attachment 2427306
Neymar Jr atakosa mechi zilizobaki za hatua ya makundi vs Cameroon na Uswisi. Pigo kidogo kwa wacheza samba, ila fursa sasa kwa Antony.View attachment 2427325
Tukutane saa moja jioni!
Ecuador vs Holland
N.BView attachment 2427330View attachment 2427331 Atakaye tabiri mfungaji wa goli la kwanza kabla game haijaanza ana vocha ya 5000/=