Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Neatherlands akishinda leo au kutoa droo, Qatar watakuwa wameondolewa kwenye mashindano ya WC na kuweka historia ya timu mwenyeji kutolewa kwenye mechi ya pili tu
Afrika ya Kusini walitolewa mashindanoni kwenye mechi ya mwisho kwenye mashindano ya WC 2010.
 
Kuna mtu eti kashindwa kuunganisha

Nilimpa kadi no, nikaja tumiwa code, nikampa zile code lkn imemgomea
Wewe kwako umejisajili?
Kama bado jarib kujisajili kwanza wewe halafu yeye umpe email na password a-log in tu
 
Neatherlands akishinda leo, Qatar watakuwa wameondolewa kwenye mashindano ya WC na kuweka historia ya timu mwenyeji kutolewa kwenye mechi ya pili tu
Afrika ya Kusini walitolewa mashindanoni kwenye mechi ya mwisho kwenye mashindano ya WC 2010.

Hata wakitoa draw, Qatar out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…