Undava undava tu[emoji1787]mimi nawalmbea Ecuador mabaya ata likipatikana lingine halali refa alikatae nyau nyau yaani[emoji3][emoji3]
Dahh mm mechi za kombe la dunia naziogopa kinyama sijabet hata mechi mojaMkeka wangu ushatiki
Kama umejisajili mpe email na password aingie sio namba ya kadiNimejisajili..
Vipi kuhusu offsides ya goli la pili la Ureno dhidi ya Ghana na ile penalty ya mchongo, VAR jana zilikuwa hazifanyi kazi au [emoji848][emoji2960]Huyo mtu aliye karibu na kipa maybe,, ila suala la offside sinaga elimu ya kutosha
Ah hapo sawaaaKama umejisajili mpe email na password aingie sio namba ya kadi
Jana kwenye VAR hapakuwa na umemeVipi kuhusu offsides ya goli la pili la Ureno dhidi ya Ghana na ile penalty ya mchongo, VAR jana zilikuwa hazifanyi kazi au [emoji848][emoji2960]
Ngozi nyeusi tunabaguliwa sana, tena haswa zilizotokea Africa [emoji26]Ila jana jamaniiii
Bado karoho kanauma
Mukaoge maji ya bahari ya ShamNgozi nyeusi tunabaguliwa sana, tena haswa zilizotokea Africa [emoji26]
Tuma fasta then uendelee na boli. Maisha lazima yaendelee🤣🤣Yaani watu tupo busy na kombe la dunia mtu anakuomba hela ya kusuka [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
[emoji847]Jana kwenye VAR hapakuwa na umeme
Mwambie akanyoe kiparaYaani watu tupo busy na kombe la dunia mtu anakuomba hela ya kusuka [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]