Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Tuendelee Kupunguza Magarasha...,
Ukweli ni kwamba Timu nyingi ni Mediocre.., watu wanajali / wanafurahia / wanajituma zaidi wakiwa wamevaa Uzi wa Timu / Vilabu vyao huku kwenye kuwakilisha nchi wana-turn up tu (tena wanajichunga wasiumie kupoteza ujira wao)... Kuna enzi ilikuwa kuwakilisha taifa lako mtu anahakikisha anajituma kuliko (one chance in a life time)
Sasa Hivi labda wale ambao hawajanunuliwa wanatafuta personal glory na sio kuibeba nchi
Ukweli ni kwamba Timu nyingi ni Mediocre.., watu wanajali / wanafurahia / wanajituma zaidi wakiwa wamevaa Uzi wa Timu / Vilabu vyao huku kwenye kuwakilisha nchi wana-turn up tu (tena wanajichunga wasiumie kupoteza ujira wao)... Kuna enzi ilikuwa kuwakilisha taifa lako mtu anahakikisha anajituma kuliko (one chance in a life time)
Sasa Hivi labda wale ambao hawajanunuliwa wanatafuta personal glory na sio kuibeba nchi