Huo ndio ukweli wenyeweBara la Africa nikama tulaana hivi.
Alafu usishangae aliye turoga keshatangulia mbinguni zanani sana, kwasasa ana jinywea zake Kvant taratiibu huku akitucheki tu tunavyo hangaika.
Wenda nikazeeka hivi hivi ama kufa kabisa, kabla hata timu moja kutoka Africa itakayo fika hata nusu fainali ya kumbe la Dunia.
UtashangazwaBaada ya Qatar, kesho Germany nae anafungasha virago. Hamna namna hawa wafanya siasa kwenye world cup watamfunga Spain. Wakishinda niiteni Kigwangala nipo pale nimekaa
Tuko Pa1 mkuu.Vamos vamos vamos argentina
Viva mesi
Kule concaf aliona ni vibonde sana bora AsiaAustralia alihama bara kwenye harakati za kufuzu kutoka concaf hadi asia
Toka ahamie asia nafikiri hajawahi kushindwa kufuzu
Kama hawa Tunisia sehemu ya kupiga shoot ye anatoa pasiAcha tu Mpaka sasa sioni timu itakayovuka hii stage
Huwenda miaka ya mbele huko vizazi vyetu
Sema ata sisi waafrika wengi ni wangese wangese tu [emoji1]
Baada ya Qatar, kesho Germany nae anafungasha virago. Hamna namna hawa wafanya siasa kwenye world cup watamfunga Spain. Wakishinda niiteni Kigwangala nipo pale nimekaa
ujerumani asipoacha siasa kwenye mpira hatoboi, ajifunze kwa iran baada ya kichapo cha muingereza jana imebidi aimbe nyimbo ya taifa akaachana na siasa karudi mpirani na umeona amepata matokeoUtashangazwa
Spain asikutishe alipiga bomu mochwari akajisifu ameua
Huu Msemo wa Never Write Off the Germans haukusemwa tu watu wajifurahishe, hawa jamaa wameshachukua Kombe, time and again wakiwa na Timu Mbovu na Mpira usiovutia.....Baada ya Qatar, kesho Germany nae anafungasha virago. Hamna namna hawa wafanya siasa kwenye world cup watamfunga Spain. Wakishinda niiteni Kigwangala nipo pale nimekaa
Yah ni kweli kabisa Ujerumani mechi inayofuata watakuwa wakatili mithili ya mbogo aliyejeruhiwaHuu Msemo wa Never Write Off the Germans haukusemwa tu watu wajifurahishe, hawa jamaa wameshachukua Kombe, time and again wakiwa na Timu Mbovu na Mpira usiovutia.....
Kuna Kipindi walikuwa wabovu kinoma ila Oliver Kahn akawabeba mpaka Fainali.....
Hujaona hiiTeam poland this evening [emoji16]
Hakika.. Ili kundi libak wide open.. Draw au Poland Ashinde.Team poland this evening [emoji16]