Acha upotoshajiiii kwendraaaaHakuna uwezekano na kwa Mexico hapiti hata kidogo leo lazima alale mbili bila na huo ndio mwisho wake maana ana point 0
cha asubuh au usiku?Ooh Saudi ooh Saudi
Hayaaaa cha pili hicho kitamuuu
Yes ili Saud waendelee.Argentina atoke draw leo
Saudi ampige Mexico
Mimi hapaNi nani anaejua ni timu gani ambayo itachulua kombe la dunia ?
Wanazingua kinoma noma yaaniJf haijipi notification tena,napitwa na huu uzi dah
18/12/2022 ndo anajua.Ni nani anaejua ni timu gani ambayo itachulua kombe la dunia ?
Na vip kuhusu huo muda ambao umeongezwa na wenyewe haukutumika vizuri, imagine zimeongezwa dakika 10,lakini wachezaji wakapoteza tena kwa makusudi dakika 5. Je zitaongezwa zingine 5? Na kuwa jumla 15?
Goli linarudi full time 1-1 Allah yupo na Saudi Arabia,
Hiki kitakuwa cha jioni maana ndo huwa hakina wenge la usingizicha asubuh au usiku?
Mexico nao watapambana leo maana bado wapo mchezoni.Argentina wamebezwa sana leo watalipa kisasi leo mexico ameyakanyaga
Saa 4 usiku sio mbali tunza post yangu baadae utafanya reference narudia akipita Argentina akipita akamfunga Mexico uje kunizomea, ila asipopita ukubari nikuzomee wiki nzima na ntakua nakuita jina jipya wewe ni mbwa umekaa paleAcha upotoshajiiii kwendraaaa
KwendraaaaaaaaaaaaSaa 4 usiku sio mbali tunza post yangu baadae utafanya reference narudia akipita Argentina uje kunizomea, ila asipopita ukubari nikuzomee wiki nzima na ntakua nakuita jina jipya wewe ni mbwa umekaa paleView attachment 2428241
πππKwendraaaaaaaaaaaa
Watashinda tu Allah yupo na Saudi ila leo wamekula nguruwe kilazima daah sahani mbili bila marejesho, wamezembea sana leoKuumia kwa Yasser kumewacost sana. Hope watashinda dhidi ya Mexico.
Waarabu koko wanyang'anywe hayo ma RR tu
HelloHello team France π«π·
Ivi kuna uwezekano wowote wa Argentina kupita kwenda kwenye 16 bora atakama akishinda mechi zote ?