Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Wako sahihi Sana Jamaa anazingua mno yaan sijui anawazaga nini akiwa uwanjani?
 
Naunga mkono hoja mwanawane BUSH BIN LADEN hao machoko wa kijerumani kesho wanarudi kwao wakaendeleze uchoko. Sio Germany machine ile. Twende na Spain knockout stage.
Baada ya Qatar, kesho Germany nae anafungasha virago. Hamna namna hawa wafanya siasa kwenye world cup watamfunga Spain. Wakishinda niiteni Kigwangala nipo pale nimekaa
 
Tatizo la Argentina Ni team work, wanamtegemea Sana Messi yaani akiwa chini ya kiwango au akikabika vyema bas team nzima imefeli.

Sijui kwann Dyabala hachezi maana yy, Di Maria pamoja Na Yule Dogo aliyefunga Goli la pili Wana amsha amsha Sana kwa wapinzani ningependa mechi ijayo waanze pamoja hao watu wa4.
 
Nimekudharau sana kumfananisha messi na uyo kijana kwasababu ya magoli ya kombe dunia
Hata mimi nimekudharau kwa kupofushwa na mapenzi na Messe kipenzi chako cha moyo. Yeye ni nani asifananishwe na na kwa taarifa yako rekodi zote za Messi zitavunjwa tu soon na vijana wa kizazi kipya hao wanakuja moto
 
Majeruhi
 
Gemu ya argentina na poland
ikiwa sare

Saudia akamgonga mexico


Hamuoni safari ya huyo mesi imeishia hapo

Kwa iyo mesi asali sana au amuombe mexico ashinde au adraw

Saudia amfunge Mexico?? Acheni ndoto aseee! Saudia Alitakiwa apate matokeo kwa Poland kwa Mexico hawezi kushinda.

Mechi ngumu kwa Argentina ilikua ni ya Mexico, Poland hana uwezo wa kumfunga Argentina labda itoke bht Kama ya wa Saudia.
 

Enzo Ferninandez Uyo Dogo ni mzuri sana anakipiga Benfica nafikiri next match ataanza. Pia watu wana msahau Martinez Uyo Dogo beki wa Man utd Dogo jana amekaza sana. Beki line yao jana ukitulia sana.
 
Ujeruman timu yangu Ila mnazingua aisee
 
Au tumrudishe Adolf Hitler aisee hawa ujeruman wamekuaje
 
Hata mimi nimekudharau kwa kupofushwa na mapenzi na Messe kipenzi chako cha moyo. Yeye ni nani asifananishwe na na kwa taarifa yako rekodi zote za Messi zitavunjwa tu soon na vijana wa kizazi kipya hao wanakuja moto

Mbappe mpaka sasa hana UEFA, ballon D or, Euro Ila ana WC. Hizo rekodi za Messi na Ronaldo Dogo apambane Atavunja baadhi Ila sio zote
 
Mbappe mpaka sasa hana UEFA, ballon D or, Euro Ila ana WC. Hizo rekodi za Messi na Ronaldo Dogo apambane Atavunja baadhi Ila sio zote
Watasaidiana na Haaland na wengine are comming soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…