Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hawa Belgium wakileta mzaha ili kundi watabaki waende nymbn mapema.
Belgium zama za wachezaji hawa zimeshapita. Ilikuwa ni worldcup iliyopita. Sasa wameshapita ''pick'' ya uchezaji wao na watazidi kuporomoka. Kina Hazard, Vertonghen, Lukaku wote siku zao za kuwa juu zimepita. Inabidi waanze tena na kizazi kingine
 
Wachezaji wa Morocco wote hucheza mpira wa kulipya nje ya nchi, kwahiyo taifa star kama malengo ya kushiriki kombe la taifa tunao tuanze na kupeleka wachezaji wetu nje, soma la simba na Yanga halitupeleke popote
Wee bwana hapa tanzania kwenda world cup mpaka yesu arudi na dunia izaliwe upya. Kwa mikakati gani tuliyokuwa nayo? Vijeva vya u20 ndio ukashindane ulimwenhuni huko. Tuache utani.

Morocco licha ya kwamba wana wachezaji nje huko lakini wame invest kinoma. Hiyo training facility ya national team unaambiwa ni the best in the world yaani hata za ulaya hazigusi. Wenzetu wanamipango sie tuna porojo tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…