Unazungumzia strait of giblatarMoroco kinachowabeba wako karibu sana na ulaya. Unaambiwa kuna maeneo Moroco ukipanda juu ya mti unaiona baadhi ya mitaa Spain na Ureno
Tatizo la gambling ni unapo poteza unataka urudishe hela yakoMimi naweza kujicontrol
Gambling hainiendeshi
WashafungwaCroatia wenyewe sio wazuri, anaweza pita Belgium
Dk ya 13 Canada anaongozaCroatia vs Canada wakidroo basi Morocco anakua kapita.
@world cup ijayo navyosikia timu zitakuwa 48 na makundi yatakuwa na timu 3 atakae ongoza kundi ndio anaenda hatua inayo fuataZikiwa timu 64 makundi 16 inamaana timu zitacheza kawaida kama sasa hivi sema itaongezeka round moja ya mtoano. Kama Europa ligi kabla ya robo unacheza mechi 2 za mtoano badala ya moja.
Mkuu kwa Timu kubwa mfumo huu ni mbaya ila kwa nchi ndogo ni mfumo mzuri.
Balaaa hili hapa ni kwenda bar tuu kucheki gameTANESCO wamepita na nishati yao
🤣🤣🤣🤣 Wale wapo ulaya kweliMoroco kinachowabeba wako karibu sana na ulaya. Unaambiwa kuna maeneo Moroco ukipanda juu ya mti unaiona baadhi ya mitaa Spain na Ureno
Alimuaibishaga yule beki wa barcelona ...hana hamu naye kabisa huyu kijanaView attachment 2429234
Man in history
Yaani gambling Mimi huwa hainiendeshi.Tatizo la gambling ni unapo poteza unataka urudishe hela yako
Hivi ndio itakuwa mbaya kwa MoroccoHii game inatakiwa iishe hivi hivi msimamo ubaki hapoView attachment 2429226
Kipindi cha Maximo tulifuzu makundi ya Kugombania, na tukawa wa 3 point 1 nyuma ya Cape verde wa pili, Cameroon alifuzu kundi letu, Enzi zile watangazaji wetu wanajidai Ngasa ni bora kuliko Etoo. Kuna bahati ya kundi unalopewa, timu kali zinaweza kupewa kundi moja na Timu ndogo zikawa na mkubwa ambae hatishi sana.Hata Afrika ikipewa timu 10 Tz haitaenda
Hyo kitu ina addiction zaidi ya pombe na madawa ya kulevya.yaan unaliwa daily ila unajipa matumaini ya kula .Achana nacho mkuu.Nikiweka buku napata sh ngapi?
Sifanyi ujinga wa kubet Hela zaidi ya elfu 5
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha hicho kipindi , sema some how tulikuwa boraKipindi cha Maximo tulifuzu makundi ya Kugombania, na tukawa wa 3 point 1 nyuma ya Cape verde wa pili, Cameroon alifuzu kundi letu, Enzi zile watangazaji wetu wanajidai Ngasa ni bora kuliko Etoo. Kuna bahati ya kundi unalopewa, timu kali zinaweza kupewa kundi moja na Timu ndogo zikawa na mkubwa ambae hatishi sana.
Haya mechi hiyo hapo kama wajiamini wape goli zipatikane 3Yaani gambling Mimi huwa hainiendeshi.
Huwa nacheza tatu mzuka mara Moja Moja.
Kiwango Cha mwisho kucheza ni elfu 2 tu..Bila kujali narudisha Hela yangu au hapana.