Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

20221127_191438.jpg

Man in history
 
Zikiwa timu 64 makundi 16 inamaana timu zitacheza kawaida kama sasa hivi sema itaongezeka round moja ya mtoano. Kama Europa ligi kabla ya robo unacheza mechi 2 za mtoano badala ya moja.

Mkuu kwa Timu kubwa mfumo huu ni mbaya ila kwa nchi ndogo ni mfumo mzuri.
@world cup ijayo navyosikia timu zitakuwa 48 na makundi yatakuwa na timu 3 atakae ongoza kundi ndio anaenda hatua inayo fuata
 
Hata Afrika ikipewa timu 10 Tz haitaenda
Kipindi cha Maximo tulifuzu makundi ya Kugombania, na tukawa wa 3 point 1 nyuma ya Cape verde wa pili, Cameroon alifuzu kundi letu, Enzi zile watangazaji wetu wanajidai Ngasa ni bora kuliko Etoo. Kuna bahati ya kundi unalopewa, timu kali zinaweza kupewa kundi moja na Timu ndogo zikawa na mkubwa ambae hatishi sana.
 
Kipindi cha Maximo tulifuzu makundi ya Kugombania, na tukawa wa 3 point 1 nyuma ya Cape verde wa pili, Cameroon alifuzu kundi letu, Enzi zile watangazaji wetu wanajidai Ngasa ni bora kuliko Etoo. Kuna bahati ya kundi unalopewa, timu kali zinaweza kupewa kundi moja na Timu ndogo zikawa na mkubwa ambae hatishi sana.
Umenikumbusha hicho kipindi , sema some how tulikuwa bora
 
Yaani gambling Mimi huwa hainiendeshi.
Huwa nacheza tatu mzuka mara Moja Moja.
Kiwango Cha mwisho kucheza ni elfu 2 tu..Bila kujali narudisha Hela yangu au hapana.
Haya mechi hiyo hapo kama wajiamini wape goli zipatikane 3
Odds ni 1.7

Mi nimeweka faida itakuja 36,000
Hasara itakuja 64,000
 
Back
Top Bottom