Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mimi nashabikia Germany mkuu ciz naAppreciate mambo waloyofanya nchini. Leo tu nimesali kwenye Parokia waliyoijenga wao
Pia kuna watu wengi tu wanaitumia ile reli iliyojengwa na mjerumani ambayo wewe hujaisema kwasababu babu zako walipigwa kwenye ule ujenzi.


Unadhani wao pia wana haki ya kuishabikia Germany?
 
Nilitaka nishangae kwamba Kama Kuna Timu ya Ulaya ambayo haina hata mtu mwenye asili ya Afrika..

Kaingia hapo mmja upande wa Spain
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…