political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Yani unaweka trust yako kwa awa maball dance kweli? bado awajakutana na wanaume wa kweliTukutane saa 1 tufuzu kwa heshima siyo timu mnafuzu kibahati bahati kipresha presha timu zinafuzu huku zimetundukiwa dripu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2429599
France tunaomba tukatanane na Brazil maana mnajiamini sanaTukutane saa 1 tufuzu kwa heshima siyo timu mnafuzu kibahati bahati kipresha presha timu zinafuzu huku zimetundukiwa dripu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2429599
Tunamtaka huyo France hata kesho tuFrance tunaomba tukatanane na Brazil maana mnajiamini sana
Haya wewe unaujua mpira?Wewe jmaa hujui football,harafu kombe la Dunia hakuna mnyonge ....
Kamuuliza Korea alichomfanya Germany mwaka 2018 kule urusi na ndio alimtoa ujeruman kwenye hatua za makundi ,....
Korea alimchapa goli 2-0 ujeruman ,na hawakuamin kabisa [emoji23] na walikuwa wanamchukia poa hivo hivo ....
Costa Rica sio timu za Africa za wavivu wavivu ,Hawa wanaenda kumsimamaisha ujeruman...
Team Brazil wazee wa samba tujuane mapema huyo Switzerland kayakanyangaTunamtaka huyo France hata kesho tu
🙏🙏👊👊👊👊👊Mashabiki wa Lionel Messi amkeni na hii motivation!
View attachment 2429682
View attachment 2429677
Wako wapi wale wa timu Portugal?
Pira samba pira Brazilian hair pira sexTeam Brazil wazee wa samba tujuane mapema huyo Switzerland kayakanyanga
Nisaidie kudogo.Kwenye hili group mwenye kazi kubwa ni Japan. Mechi ya mwisho Germany anampiga Costa rica huku Spain anaenda kutafuta draw dhidi ya Japan
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau, timu ya wanawake!Timu bora Dunian Brazil tukutane saa 1
Timu ya vijana timu ya mabishoo timu ya watanashati timu ya wala Bata
Timu ya wazee huko Argentina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu Msemo wa Never Write Off the Germans haukusemwa tu watu wajifurahishe, hawa jamaa wameshachukua Kombe, time and again wakiwa na Timu Mbovu na Mpira usiovutia.....
Kuna Kipindi walikuwa wabovu kinoma ila Oliver Kahn akawabeba mpaka Fainali.....
Kdb hakuemo
Dah, kumbe wajep walifungwa?Hivi Mbona Mashabiki wa Japan Wana Heshima Iliyopitiliza?
Leo walifungwa lakini bado walibaki uwanjani kusafisha na kuokota makopo upande wao???
Eeeh watanzania huwa tunajiona ndio wastaarabu dunia nzima kumbe kuna Japan
Kuwa na adabu ww kijanaUmesahau, timu ya wanawake!
Wanaboa hao watu. Mimi huwa nakaa nao mbali nyakati za sokaWatching football with this gender [emoji41][emoji41][emoji856][emoji856] requires high level of patience &special skills View attachment 2429729