Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Niaje mchizi boti.Spain watacheza kifaza game ya mwisho maana wao wanna uhakika wa kufuzu. Japan akitoka ni uzembe wake mwenyewe, German anatakiwa kumla za kushato kostarika japo game unaweza ikawa ngumu maana wameshinda dhidi ya Japan ivyo kama wakifanikiwa Kim kazi a German hata diroo basi wanna uhakika wa Kupitia.
Kwani na wewe ni timu upinde wa mvua?