Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Onana sijawahi kumuelewa
 
Huna timu ya ushindani
Poland wanakusubir [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mark Viv foe ni mchezaji wa cameroon aliyefia uwanjani akiwa na timu ya taifa kwenye michuano ya mabara

Alikuwa kitasa na mpambanaji

Hapo awali dunia haikuzoea matukio ya mchezaji kufia uwanjani
Kitasa una maana gani?
 
Miaka yote timu za afrika zinazoshiriki kombe la dunia ni zile zile tu afu hamna kinachofanyika
Wabadili mfumo tu kama vp waende kwa Kanda tu 2024 Kanda ya Afrika mashariki nchi zote ziende kombe la dunia
2028 Kanda ya magharibi nchi zote ziende kombe la dunia labda tutaweza toboa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijajua umeona nini lakin kiukweli hapa africa mashariki tuwe excluded. East Africa hamna timu ya kwenda world cup....tutaoga magoli kila mmoja arudi na goli lake.
 
Ndio ttz la wachezaji wa africa timu zao za taifa wanadharau
Katikati ya michuano unaleta hbr kama hizi
 
Sijajua umeona nini lakin kiukweli hapa africa mashariki tuwe excluded. East Africa hamna timu ya kwenda world cup....tutaoga magoli kila mmoja arudi na goli lake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora tufanye hvyo tu labda Tanzania tunaweza shangaza ulimwengu tukamfunga Brazil 4 afu tukafika nusu fainal, [emoji41][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…