Alfu ulyule Ni wa epl kbsa jina lake limenitokaRefa pigaaa umeme hao wakorea ila marefa wakiingireza Wana roho mbaya jamaaa limemramba red card bila kupepesa macho
Ulibet Korea nn washinde π€£Exactly kocha...tushavurugwa
Antony Taylor mashabik wa Chelsea hawampendi kinoma[emoji23]Alfu ulyule Ni wa epl kbsa jina lake limenitoka
NimevurugwaRefa kala nyekundu unazingua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atakufa mtu Siku hyo.Very Patriotic asee Yan inawauma kinoma...walikua wanajua hii ndo game ya wao pia kupata point 3.
Game ya mwsh na Ureno.. Ureno akitk vzr ashinde leo game yake maan ya mwsh na Korea itakua balaa sana.
Vidole havina mfupa...refa tena apewe nyekundu nanani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji178
Aibu kwa LGBT na Uingereza ,baada ya speech ya Raisi wa Fifa kuwachana Live walisagia kunguni sana mashindano ya mwaka huu kwa kushirikiana na Pundits wao wa mchongo kuwa hayatanoga na atakuwa ya hovyo kuwahi kutokea.Kuanzia mashabiki wengi,
Maandalizi mazuri
Technology nzuri
Hakuna timu yenye uhakika wa kuendelea mbele
Timu zimejipanga vizuri
Ulibet Ghana wanakufa nini?Nimevurugwa
Eee anakua mpenz mtazamaj kama sisiMaana yake haruhusiwi kuingia uwanjani au?
Sibetigi madam.....hamna ni excitement. Mi muafrica macho madogo wa nn mieeeUlibet Ghana wanakufa nini?
So uwanjani anaingia kwa kulipia kama wengine tuNdiyo. Mechi ijayo haruhusiwi kukaa kwenye benchi la ufundi. Anaweza kukaa kama mtazamaji tu. Na kama angeonyeshwa mechi ya mwisho adhabu inawekwa kiporo mpaka itakapotokea tena mashindano ya FIFA anatumikia adhabu yake.
AsanteEee anakua mpenz mtazamaj kama sisi
Htr iyo game...na Leo Uruguay hawez kubal inabid apate hat Draw au ashinde ili awe na nafas nzr pia ya kusonga mbele.Atakufa mtu Siku hyo.
Refa kala nyekundu unazingua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yess exactly ndio jina lake muonevu sanaAntony Taylor mashabik wa Chelsea hawampendi kinoma[emoji23]