United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Uyu na Michela Oliver wanaroho za shetani ukimtukana tu unachezea umeme hawapesagi macho kabisa Micheal Oliver alishawah mramba umeme Buffon dakika za mwisho kabisa kweny game ya juve na Real MadridAlfu ulyule Ni wa epl kbsa jina lake limenitoka
Mechi zote zilizobaki ni Bundesliga.Htr iyo game...na Leo Uruguay hawez kubal inabid apate hat Draw au ashinde ili awe na nafas nzr pia ya kusonga mbele.
Wivu tu Mbona mashindano yamenoga haswaa technology ya Hali ya juu snaaAibu kwa LGBT na Uingereza ,baada ya speech ya Raisi wa Fifa kuwachana Live walisagia kunguni sana mashindano ya mwaka huu kwa kushirikiana na Pundits wao wa mchongo kuwa hayatanoga na atakuwa ya hovyo kuwahi kutokea.
David Beckham sasa mitandaoni anasema vibaya na waingereza kila akipost kisa yeye kupromote mashindano ya Qatar ,sasa hivi hawaaamini macho yao wananuka aibu [emoji38][emoji38][emoji38]
Ulikuwa unaongelea sare gani mkuu?😂Just clicked thanks. Case closed!
Ili mchomoe? Thubutu refa naye aliona mnamchosha kukimbia kimbiaLkn refa alizingua angeachia Kona yetu bhan[emoji23]
Wataliwa na simba wa teranga hao wew subiriaKosi la dunia Brazil ikicheza dunia nzima mpka fifa wana furahi [emoji119][emoji119][emoji119][emoji91][emoji91]View attachment 2429958
Kbs ni kufa na kuponaMechi zote zilizobaki ni Bundesliga.
Umenifurahisha sanaRefa pigaaa umeme hao wakorea ila marefa wakiingireza Wana roho mbaya jamaaa limemramba red card bila kupepesa macho
Duhhh ndio Nani huyo mtu? Ata kama hayo matokeo mengine hayatakuwa sahihi bado haibadirishi ukweli kuwa atakuwa kajitahidi sana kubashiri correct scoreTiby hunter leo amebashiri matokeo sahihi ya cameroon 3-3 akabashiri ghana kushinda 3-2 na ubashiri uliobakia ni Brazil kufungwa 3-2 na ureno kusuluhu 4-4! Yapi maoni yako je itatokea kweli?
Umenifanya nimkumbuke Diego Forlàn.. Yale Mashuti yake WC 2010.Sasa Ghana tunamtaka mbaya wetu Uruguay
Tunamtaka Suarez awepo tuna hasira naye[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Wataliwa na simba wa teranga hao wew subiria
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Exactly kocha...tushavurugwa
Refa amenikosha kweli.FT Ghana 3 south Korea 2🔥
Ili mchomoe? Thubutu refa naye aliona mnamchosha kukimbia kimbia
Na moroco ni simba wa altasiANGALIZO
Alafu watu wengi humu wanawaita Cameroon simba wa teranga ni makosa kwani wao wanaitwa the indomitable lions, maana yake simba asiyeshindwa.
Senegal wanaitwa lions of teranga, maana yake simba wenye ukarimu!
Sitegemei tena kuona watu mkichanganya hao simba wawili tena.