Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mliniita wenyewee nipo hapa na sitokiiiii.
 
Haya mambo sio ya kucheka ila kwa sbb tuna bandama wacha tucheke
 
Jamaa wanamchukia utafikiri kawabebesha mimba, mpira unapigwa ila hawaoni matukio ya kujadili tofauti na kujadili maisha binafsi ya Cr7.

Ndohivyo anazidi kupepea tu.
Ukikuta mtu anamchukia Ronaldo kuna mkono wa Mesis hapo na ukikuta mtu anamchukia Messi kuna mkono wa Ronaldo hapo. Mesis na Ronaldo ni kama Mnyama na Wananchi
 
Kama alifunga iyo niite mbwa niko pale mwakaleli mbeya
Kafunga kwa staili hiyo maisha yake yote ya soka na hakuna mchezaji tangu soka lianzishwe anayemsogelea Ronaldo kwa ufungaji wa magoli ya vichwa vya staili hiyo. na zaidi ya yote haitaji kuprove kwako, kama unataka kujiita mbwa jiite tu usimuhusishe Ronaldo
 
Ukikuta mtu anamchukia Ronaldo kuna mkono wa Mesis hapo na ukikuta mtu anamchukia Messi kuna mkono wa Ronaldo hapo. Mesis na Ronaldo ni kama Mnyama na Wananchi
Sahih Sana sijaona kosa la Ronaldo Wal Messi bas tu mreno wa watu hatakiwi kuwa Ronaldo
 
Kama alifunga iyo niite mbwa niko pale mwakaleli mbeya
Aisee bwna shemeji kumbee wew Ni wa mwakareli huko ,bas bhna Nina mpenzi wangu anaitwa Ester manase wa hapo hapo kwa kina mwakahesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…