Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mtu mbna umeni andama sanaaa? Mie ndo nloanzisha habari za cr7 kuwa [emoji2380]? Nitueeeee kwan lol.

Km ni picha zile zake na Joe, ni kweli Joe n Basha na yuko wázi hata mahusiano yake na Jeff watu wanajua, mbna wakat bob risky anajishaua kwake na alimtema kuwa yupo ktk mahusiano aka mtagg Jeff,

Sasa kuhusu cr7 kubebwa na kudeka kule kwa Joe, utajaza weyeee km n nyeupe au nyeusi.

Unikomeeeeeeeeeee!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ziko wapi picha za Ronaldo akiwa amebebwa mtoto mzuri
 
Screenshot_2022-11-29-17-08-57-115-edit_org.telegram.plus.jpg
 
Kumekuchaaaa humu ndaniiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wabongo wengi kumbe uelewa wao ni finyiuu mnooo. Nacheka km mazuriiiiii. Lol.
Mtu anadhani mapunga hayazai, anadhani hayana uwezo wa kuwa kwenye kahusiano na wanawake.

Kwa ufinyu huu wa elimu juu ya hili swala mtambuka, jamii inawezaje kupambana nalo?

Nimepitia baadhi ya comment nikajiuliza hivyo.

Anyways tujadilini Kombe la Dunia QATAR.[emoji91]
 
Wale wazee wa kuchukua hela kizembe

Ecuador coners over 4.5, odd 1.86
2nd half with may goals, odds 1.5

Sitaki kuwaza atakeshinda hii game kwasababu natamani team ya Afrika ipite.
 
Kafunga kwa staili hiyo maisha yake yote ya soka na hakuna mchezaji tangu soka lianzishwe anayemsogelea Ronaldo kwa ufungaji wa magoli ya vichwa vya staili hiyo. na zaidi ya yote haitaji kuprove kwako, kama unataka kujiita mbwa jiite tu usimuhusishe Ronaldo
Hizi kauli za kidada si inakuwaje zinatumiwa na wanaume, yani Mwanaume mzima na pumbu zake eti anadai 'niitwe mbwa nimekaa pale"

Huo msemo hauna tofauti na misemo iliyowahi kuzuka miaka ya nyuma kama, "UTAJIJU", kisha itumiwe na wanaume.

Fvck[emoji51].
 
Hivi huyu Mdau alifariki mwaka Jana siku kama ya leo ?!!!!
RIP Papa Bouba Diop
 
Back
Top Bottom