Ziko wapi picha za Ronaldo akiwa amebebwa mtoto mzuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mtu mbna umeni andama sanaaa? Mie ndo nloanzisha habari za cr7 kuwa [emoji2380]? Nitueeeee kwan lol.
Km ni picha zile zake na Joe, ni kweli Joe n Basha na yuko wázi hata mahusiano yake na Jeff watu wanajua, mbna wakat bob risky anajishaua kwake na alimtema kuwa yupo ktk mahusiano aka mtagg Jeff,
Sasa kuhusu cr7 kubebwa na kudeka kule kwa Joe, utajaza weyeee km n nyeupe au nyeusi.
Unikomeeeeeeeeeee!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3516] we jauVidole
Tatizo njaa mkuu, mtu anadaiwa kodi hana hela alafu ghafla unakuja kuandika umeingiza 98K, utatukanwa tu[emoji23].Mfano mi nabet, nikaandika nimeingiza 98,000 kuna mtu kanitusi, wakati sijamfatilia wala kumjibu
Hata kama, mtu hapaswi mchukia mwingineTatizo njaa mkuu, mtu anadaiwa kodi hana hela alafu ghafla unakuja kuandika umeingiza 98K, utatukanwa tu[emoji23].
Addidas wanamnyima Ronaldo sababu si wao
Mtu anadhani mapunga hayazai, anadhani hayana uwezo wa kuwa kwenye kahusiano na wanawake.Kumekuchaaaa humu ndaniiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wabongo wengi kumbe uelewa wao ni finyiuu mnooo. Nacheka km mazuriiiiii. Lol.
Ule mpira hakugusa bhana,mm ni shabiki wake lakini pale hapanaAddidas wanamnyima Ronaldo sababu si wao
Hizi kauli za kidada si inakuwaje zinatumiwa na wanaume, yani Mwanaume mzima na pumbu zake eti anadai 'niitwe mbwa nimekaa pale"Kafunga kwa staili hiyo maisha yake yote ya soka na hakuna mchezaji tangu soka lianzishwe anayemsogelea Ronaldo kwa ufungaji wa magoli ya vichwa vya staili hiyo. na zaidi ya yote haitaji kuprove kwako, kama unataka kujiita mbwa jiite tu usimuhusishe Ronaldo
Hutaki mazoea na waafrica kabisa.[emoji23]Mkeka wa leo
Ecuador [emoji3581]
Holland [emoji3581]
England [emoji3581]
Weka 100k subiri 400k na ushee
Tuma mkeka uliolipiwa tuoneMkeka wa leo
Ecuador [emoji3581]
Holland [emoji3581]
England [emoji3581]
Weka 100k subiri 400k na ushee
Hii ni vita...Senegal watangulize mabegi airport mapema tu