SMART PASSENGER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 968
- 1,022
Utanitag matokeo niko bush mkuuMbona senegal hawaimbi kwa saut
Poa poa,umeenda lini akati kila sku uko mubashara hapaUtanitag matokeo niko bush mkuu
Mane pale asingekuachaHii nafasi wameikosa Senegal daah
Sadio Mane ni fundi... hawa Ecuador wanafungika kabisaMane pale asingekuacha
Toka jana mbona sipo maeneo rafiki nafuatilia kupita comments tu za umuPoa poa,umeenda lini akati kila sku uko mubashara hapa
Doh sawaToka jana mbona sipo maeneo rafiki nafuatilia kupita comments tu za umu