Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hi mechi ya Senegal ilinifanya nahama hama kwenye kochi..[emoji3][emoji3][emoji3] mie mtanzania nilikuwa na wasiwasi vipi wenyewe Senegal
 
Fomula rahisi ya kubetia timu yako pendwa
Beti watafungwa ili wakifungwa ufarijiwe na ushindi wa bet
Wakishinda utafarijiwa na ushindi wa timu yako pendwa

Ukibeti watashinda halafu wakafungwa, utapatwa na double stroke yatakayofuata ni hatari zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…