BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Mimi Tbc walinichosha wachezaji wanatembea kwa kusitasita kama wale wadudu wako kama panzi wanaitwa praying mantisJuzi nikasema ngoja nikaze na TBC kizalendo, daaah.
Goli likifungwa sioni limeingiaje nyavuni, mpaka likirudiwa ndo naliona flesh, nikasema isiwe tabu.
Hapo zinazosubiriwa kwa matashtiti ni Arg na FrncMechi za leo:View attachment 2431337
Ila huu uzi unanifurahisha sana.. hiko ni kimarekuniHiki sio kimarekani kabisa
Unajua mwenyewee, huna furaha na maisha yako? Mbna uko bitter sanaa? Wee kila kitu kuhusu mie lazima u hate, kheeeh una shida gan na mie?Tiba ipi?
Umenikumbusha Ilhan Mansiz. Turkey ilikuwa ya moto sanaRobo mkuu sio round of 16, na hio Robo yenyewe walikaza sana wakatolewa kwa goli la dhahabu na Mansiz
Anne vp tena! Kila kundi zikiwa timu 4 na zikacheza mechi 4 si maana yake kila timu itajicheza yenyewe kwa yenyewe, hii inawezekanaje kwa ulimwengu huu wa nyama na mifupa?Nilikuwa sielewi.
Kumbe kila kundi wamecheza mechi 4
Mechi zitakazofuata ni za makundi.
Kundi A&B
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Yap anaitwa weston Mckenzie miaka 24 yupo juventus alaf dogo no 6 yusuf musah yupo Valencia miaka 20, USA wana project nzuri sanaUSA jana wameupiga mwingi sana gafla nimejikuta nawashangilia yule dogo ao kiungo namba nane ni bonge moja la mchezaji aseee awa jamaa wakiendelea na project Yao yakuwekeza Kwa vijana Kuna timu za ulaya hazitwakamata
Nifundishe kufanya hivyo kwanza ππππwakishua Hello from rashfordπππππ Karibu old Trafford πππππ
Mungu ni wa woteMungu ibariki Poland
NimeshangaaNifundishe kufanya hivyo kwanza ππππ
Labda dunia ya pekee akoArgentina anacheza leo na Dunia nzima ina furaha
Mbona Dogo anakiwasha vizur tuAnachezea jina. Sioni kama ni mchezaji wa kiwango.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anne vp tena! Kila kundi zikiwa timu 4 na zikacheza mechi 4 si maana yake kila timu itajicheza yenyewe kwa yenyewe, hii inawezekanaje kwa ulimwengu huu wa nyama na mifupa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mungu ibariki Poland
England ya mwaka huu hamna kitu.....!! Senegal anatoboa..Senegal now wapo [emoji91][emoji91][emoji91]Senegal akaze,aje ampige England.I wish them all the best
YaanNimeshangaa