Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #12,301
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi...tumemfunga mfaransa atleast
Hata hivyo nimewapenda ufaransa. Wamejitahidi kutuachia chance sana ili tu tuondoke kiheshima. Na watunisia leo hawajalia..maana wamekufa kiume. Jana Ecuador na Valencia wao waliliaa hatari. Sisi na goli tunalo...na tena tuna point nne. Mnyama Qatar jana kasepa.na 0Nmependa mlivyomkaliza france
Hakukuwa na mechi za majaribio za kutoshaWachezaji wamemaliza ligi siku 4 kombe linaanza 🚮
Kasepa na zero[emoji23]Hata hivyo nimewapenda ufaransa. Wamejitahidi kutuachia chance sana ili tu tuondoke kiheshima. Na watunisia leo hawajalia..maana wamekufa kiume. Jana Ecuador na Valencia wao waliliaa hatari. Sisi na goli tunalo...na tena tuna point nne. Mnyama Qatar jana kasepa.na 0
Kaachia kweli ila haikuwasaidia Tunisia zaidi ya kuweka rekodi ya kushinda mechi moja world cup tena kuwafunga mabingwa wa duniaYaani humu Ufaransa kuna waafrika kuliko hata Tunisia sasa huyu Steve Mandanda si awaachie tu ndugu zake ili wapite....
Duh tunisia leo wanalia kilio cha damu 🤣🤣🤣🤣😭
Kahofia mipira ya juu na Poland wazr sana waref na leo Silaha yao kubwa zidi yetu itakua iyo mipira ya set pieces... CUTI Romero mzr mkuu na amerud kwny match fitness na ndo alikua 1st 11 kabla ya injury Pa1 Martinez yuko poa sana lkn Romero na Otamendi ndo partnership yetu kwa mda mref.Kocha mjinga sana! Au atakuwa anahofia kimo cha Lewandowski kitamsumbua..
Ah hawa bwana walionekana wazuri kwa kuwa ufaransa hawakuweka majembe yake. Yalivyoingia tuu kiwanja kikainamaMpira mchezo wa kikatili sana
Hivi hawajui kuwa kuna kombe la dunia linaendelea??Michuano hii kama ulifanya upgrade ya kifurushi chako, tanesco nao wakaamua kufanya upgrade ya kuwasha-kukata umeme.🤣
Ila kaweka rekodiPamoja na ushindi huo...Tunisia wanarudi nyumbani
Yani hata sjaichek mech ya leo nmepitwa,ndo nasoma soma hapa nipate updatesUpdate man
Sijawahi kuona refa akienda kuangalia screen akarudi na maamuzi yale yale. Wanadai Griezmana aliotea hata kama mchezaji wa Tunisia alipiga kichwa. Wanadai pamoja na kupiga kichwa lakini hakucheza kwa hiyo Griezxman hakutakiwa kuucheza huo mpira kwa sababu alitokea offside
Huu mpira kila siku wanaongeza visheria vyao vidogo vidogoSijawahi kuona refa akienda kuangalia screen akarudi na maamuzi yale yale. Wanadai Griezmana aliotea hata kama mchezaji wa Tunisia alipiga kichwa. Wanadai pamoja na kupiga kichwa lakini hakucheza kwa hiyo Griezxman hakutakiwa kuucheza huo mpira kwa sababu alitokea offside