Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli limekataliwa na VARGriezmann anaiswazishia Ufaransa
Var kafanya yakeWafaransa wamesawazisha
Yote kwa yote hawaendelei
Macho kwa urugwai morocco na ghana
Ila var anateta jambo
Haijalishi...tumemfunga mfaransa atleastPamoja na ushindi huo...Tunisia wanarudi nyumbani
Daaah pole yao.Pamoja na ushindi huo...Tunisia wanarudi nyumbani
Kweli unachosema dernmark boli wanayopiga huwa inafanana fanana na spain lakini wameishia makundi[emoji1745][emoji1745][emoji1745]Hili kombe wachezaji hawakua hata na mda mrefu wa maandalizi sahv michuano imekuwa mingi ndio maana hili kombe matokeo ya ajabu ajabu tu
Limekaa kimchongo sanaHili kombe wachezaji hawakua hata na mda mrefu wa maandalizi sahv michuano imekuwa mingi ndio maana hili kombe matokeo ya ajabu ajabu tu
Mabingwa watetezi na mabingwa watarajiwaKiuno Nyigu WC kwani wee upo timu Gani??
Nmependa mlivyomkaliza franceSisi Waarabu wa Tunisia hatuna uwezo wowote uwanjani..Ila tumeweka heshima tu.
FT: Tunisia 1-0 Ufaransa
Wachezaji wamemaliza ligi siku 4 kombe linaanza 🚮Limekaa kimchongo sana