Kuna mazingira yanaweza tokea mtiani mwepesi ndo ukakufelisha.Argentina walifanya uzembe kwa Saudi sasa wamekutana na vipanga wenzqo, halafu ndio unataka usawazishe makosa yako, siku zote huwa haiwi kazi nyepesi
We unamjua Manula vizuri lakini?Yule Ochoa ni kama Manula,dawa yake ni mashuti ya mbali.
Uyo kasema if hajawahi kumuonaUlitaka Kusemaje Labda
Unaweza dhania mashabiki ndio wanaomtegemea Messi kwenye kupata matokeo lakini huwezi amini hata wachezaji wenzake wote wanamuangalia yeyeArgentina mbovu Poland wa kawaida mno boss
Saudia walituotea tu.... Hatuna ubovu huo wa kufungwa na saudia ππππNyie wabovu
Ww ni Demba Ba au Cisse?Saudia walituotea tu.... Hatuna ubovu huo wa kufungwa na saudia ππππ
Hawa marefa hawaelewekiNimewasikiliza wachambuzi wa ule mchezo wakiongozwa na Michael Owen wote wamesema lile goli lilikuwa ni halali. Kanuni ya off side ni kuwa, kuwa off side siyo kosa kikubwa ni kuwa mchezaji aliyeko off side asiingilie/asiathiri uchezaji wa huo mpira.
Tukija kwa Griezmann, ule mpira ulomkuta akiwa off side na hakuathiri uchezaji wa ule mpira, yeye alitulia tu.
Mabeki wakawa wanaokoa ule mpira, na Griezmann akondoka eneo la off side, hivyo anakuja kukutana na ule mpira akiwa on side na kufunga. Tafsiri ya off side ya mwamuzi ndio imeleta utata zaidi.
Mimi demba tuWw ni Demba Ba au Cisse?
Amebana ameachia 3-0Oya huku poland kawekwa chini ya ulinzi
π¦π·π¦π·π¦π·π¦π·Gooooooooooooaaaaallll
Jf waweke voice asee tuweze kucoment kwa sautiii