Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina mbovu Poland wa kawaida mno boss
Unaweza dhania mashabiki ndio wanaomtegemea Messi kwenye kupata matokeo lakini huwezi amini hata wachezaji wenzake wote wanamuangalia yeye

Anacheza vizuri ila this time tunataka tushuhudie vipaji kutoka kwa watu wengine wapya ambao hawakuwahi kujulikana

Tunataka ushindani kama huu sio ile bonanzs ya ufaransa na tunisia
 
Mini ni team Argentina lakini to be honest to myself nilivowaona since game ya kwanza nilijua Hamna kitu pale ni wabovu, hawana mpira wa kuforce kutafuta matokeo hususani wakiwa wamepakiwa basi ndio huwa hawana ujanja kabisa.....

Na akimaliza 2nd position basi France atatufunga si chini ya goal tatu knock out stage....

Kiufupi nipo nao ila najua kuendelea kwake kwa stage za huko mbele ni bahati na sio uwezo maana hana na WC huwezi fika mbali kwa bahati hiyo haipo....

Akipakiwa basi hana penetration pass wala nini....hivi Paul dyabara ni majeruhi???
 
Nimewasikiliza wachambuzi wa ule mchezo wakiongozwa na Michael Owen wote wamesema lile goli lilikuwa ni halali. Kanuni ya off side ni kuwa, kuwa off side siyo kosa kikubwa ni kuwa mchezaji aliyeko off side asiingilie/asiathiri uchezaji wa huo mpira.
Tukija kwa Griezmann, ule mpira ulomkuta akiwa off side na hakuathiri uchezaji wa ule mpira, yeye alitulia tu.
Mabeki wakawa wanaokoa ule mpira, na Griezmann akondoka eneo la off side, hivyo anakuja kukutana na ule mpira akiwa on side na kufunga. Tafsiri ya off side ya mwamuzi ndio imeleta utata zaidi.
Hawa marefa hawaeleweki

Maana hata hii penalti ya messi haieleweki
 
As it stands
F7D4A73D-C165-4F46-8A7D-2454CEFAD255.jpeg
 
Back
Top Bottom