Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022


Achana na hao haters, they know nothing about Argentina.

Vamos Argentina🤍[emoji170]
 
Maadui Pa1 wamenuna sisi ndo LA Albiceleste[emoji1033]

Mpr tumecheza mwng sana, huyu Poland sijui tu kwnn had ss hatujamfunga hata 4 au 5 had ss

Vamonosssssssss [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
Kubqbababake si ulisema Argentina hakuna kitu
Wee huyu mgonjwa kitandani ata ihefu wanajipigia tuu. Watu wamegusa mpira mara tatu kwenye penati box ya argentina.

Kocha mjinga huyu levadonski sio mtu wakukaba dakika 90.
Huyu martinez nae anazingua angewapiga bao la tatu awatoe tuu
 
Timu inayocheza nayo Argentina "Poland" ni DHAIFU saaaana, tunza huu ujumbe utaufufua Argentina atakapopigwa kwenye hatua za mtoano au robo fainal.

Ajentina uingereza na brazil ndio anapewa nafasi ya ubingwa msimu huu

Ngoja tuone kama yaliyomo yamo

Mashabiki lazima wavimbe wakiona wanashinda

Let them enjoy while it lasts
 
Wee huyu mgonjwa kitandani ata ihefu wanajipigia tuu. Watu wamegusa mpira mara tatu kwenye penati box ya argentina.

Kocha mjinga huyu levadonski sio mtu wakukaba dakika 90.
Huyu martinez nae anazingua angewapiga bao la tatu awatoe tuu
Wakigusa mpira dk 1 washapotezaa
 
Yaani kweli wajomba zangu ndio wanaenda kulala sas HV

Nimezam kucheki litimu langu la rsa wamefurushwa 2 kavu
Sokapoahapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…