Hiyo tibisii yenu ilojaa ukungu 😂ambao amuagalii tbc nyinyi sio wazalendo.
Naomba nimsaidieMkiambiwa ukweli mnakuja na vipoint uchwara, ila ukweli ni kwamba havitusaidii.
Nimeuliza, tutawazidi nini weupe? Nafikri uweke hata kimoja tu hapa.[emoji23]
Mimi mwenyewe ni mweupe ila nakushangaa wewe mweusi kwanini hujikubali hata kwa kidogo ulichonacho,Mkiambiwa ukweli mnakuja na vipoint uchwara, ila ukweli ni kwamba havitusaidii.
Nimeuliza, tutawazidi nini weupe? Nafikri uweke hata kimoja tu hapa.[emoji23]
AsanteMkuu nenda option kwenye remote then select language unayotaka
Jifunze Sheria za soka utaelewaMkuu Ina maana hujaona kwenye watu waliotumia kupima offside mbele Yao kilikuwa na mchezaji wa Qatar? Hii offside kiufupi sijaielewa
Tutake radhi ndugu zako hhahaaHiyo tibisii yenu ilojaa ukungu 😂
Mbavu zangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Naomba nimsaidie
Tunawazidi weusi
Hawaelewekagi, muda wa mechi wao wanarusha kipindi Cha NYUKI WETUHiyo tibisii yenu ilojaa ukungu 😂
Jamani wenyeji walikuwa bize na kuandaa sherehe za ufunguzi ..
Kuna app ambayo imewezeshwa kwa ajili ya kuangalia kupitia Android phone?Qatar hawana uwezo
Naomba ufafanuzi wa Hilo tukio mkuu nipate kujifunza piaJifunze Sheria za soka utaelewa
Sasa hivi kuna Video kibao ni offside,Hiyo ndio logic niliyokuwa najaribu kuwasilisha, watu humu hawajui sheria ila wapo kukosoa vitu bila msingi.
Hapo hakuna maswala ya kibinadamu, huo mpira tu una chip ambayo haiwezi kukosea vitu vidogo kama hivyo, wabongo wapo busy kukosoa kwa macho[emoji23].
Unatumia app gani kwenye simu kwa ajili ya kuangalia?Me nimecheki Live kwa simu nimekuta kiswahili namba 222
Ngoja nijaribu 223
Hii ni verse ya wimbo flani hivi wa BobEmancipate yourself from Mental Slavery.....
YaccineKuna app ambayo imewezeshwa kwa ajili ya kuangalia kupitia Android phone?
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣TBC muda wa mapumziko wamemuweka Nape😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]TBC muda wa mapumziko wamemuweka Nape[emoji23]