Tutaona ila hao alister ni bureUnapozungumzia Argentina katikati wana watu kama Paredes ,De paul ,Mac allister rodriguez na enzo fernandez ,kiungo pekee anaenza kikosi cha kwanza cha Argentina ni De jong tu ,the rest are averages.Na mind you Argentina wanatumia viungo watatu, in Midfield battle Uholanzi wata struggle kwa sababu ya messi kushuka chini na kuwa na viungo wa nne (diamond).Uholanzi wana team nzuri lakin sio ya kuisumbua Argentina.
Kwa iyo kumbe suarez anachukiwa kwa sababu alidaka mpira[emoji23]
Sasa kama alipewa adhabu na waafrika bado wakapewa penalt wakakosa shida iko wapi
Ronaldo mwenzie kafunga yeye ananuna
Sijawahi kuona mchezaji mbuzi km hii
Waafrica tunatakiwa tubadilike akili zetu bado mgando sanaWaafrika ni watu wa kulalamika
Yeye alitakiwa kucheza na miguu Wala sio mikono, jamaa alitukosea Sana we acha tuSa izo si ni mbinu za uchezaji mkuu huoni kama iliwasaidia wao
Na huoni kama angeuacha mngefaidika nyie wa ghana ( mngefuzu wao wakabaki)
Yani km jini vile na minjino yakeHuyo suarez anavyohema mimeno yote nje mtu kashazeeka bado tu
[emoji846][emoji2772]Humu mtu akila Ban unadhani anakaa kwenye Ban huenda ndio ukawa wewe umerudi kuendeleza libeneke.....
TU!Ghana tunahitaji droo tu