Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Asante kwa maelezo mazuri
 
Hawa tbc sidhani Kama wataonyesha mechi zote. Wanagimba weeh halafu wanaishia kuonyesha mechi 30 tu [emoji23][emoji23]
Wamesema watarusha mechi 28 kwenye tv

Mechi 64 kwenye kutangaza

Ni wababaishaji tu ikifika muda wa hotuba wanatabia ya kukatisha mpira kupisha hotuba mpaka iishe ni kama huwa wanacheza na hisia za watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamesema watarusha mechi 28 kwenye tv

Mechi 64 kwenye kutangaza

Ni wababaishaji tu ikifika muda wa hotuba wanatabia ya kukatisha mpira kupisha hotuba mpaka iishe ni kama huwa wanacheza na hisia za watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani katika mechi 64 wataonyesha 28 tu? Hizo zingine tutaishia kusikiliza kwenye radio yao? Mbona wamechagua kuonyesha mechi chache sana, si wangesema hata 40 jamani.
 
David De Gea ameachwa katika kikosi cha wachezaji 55 wa awali wa Spain licha ya kuitwa kwa magolikipa watano.

Kikosi hiko kitapunguzwa hadi wachezaji 26.
 
David De Gea ameachwa katika kikosi cha wachezaji 55 wa awali wa Spain licha ya kuitwa kwa magolikipa watano.

Kikosi hiko kitapunguzwa hadi wachezaji 26.
Mimi Man U ila kwa kweli DeGea simkubali, licha ya kutuokoa kwenye baadhi ya mechi lakini kwa misimu mingi amekuwa akifanya makosa ya wazi na kuigharimu timu .
 
Team samba nipo hapa..Brazil akikosa chukua hili kombe kwa sasa,atakua hana bahati tu
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…