Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Me nafikir binafs naanza kuelewa kwnn Waarabu wa kaskazini(Morocco&Co.) wanasema wao sio waAfrica asee me binafs naelewa..

Izi ngozi ze2 nadhan kwny mambo ya serious kbs uwa hatuko tyr kua serious enough.
Nashindwa kuelewa, sehemu ya kutoa pasi mtu anabutua. Nimeona hii tabia kwa ghana, senegal na cameroon
 
Yan dah Mm kilicho nisikitisha zaid ni upigaji wa penalty kukosa kila mtu anaweza kosa hata Messi anakosa lkn ule upigaji wa Ayew asee ndo umenisikitisha zaid.

Bora ile ya Asamoah uliona kbs alipiga lkn bht Mby ilicheza Besera.
Amepiga penat kizembe sn, ameboa. Angewaachia wengine. Kwanza atoke tu mxiiiiuuuu zake ameniudhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…