Tripple Jay
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 1,012
- 1,939
Usikute labda hawajalipwa hela zaoHakuna cha kuzidiwa west Africa usiwaamini kabisa. Hawanaga mijadala kwenye pesa.
Mpuuzi mmoja anafunga safari saa 4.Wapuuzi wote out, saafi
Hahahahahahahaha.Nileteeni brazil niwalishe kimchi na pombe ya maji ya mchele (makgeolli).
Wakorea tumeamka
Safi safi. Bora Korea waende kuliko hawa Uruguay.Refa Maliza Mpira
Yan nimefurahi kweli, tukose wote. Asante koreaNimelia kwa furaha...!
tukose wote tu...!!
Sana yaanikisasi kimelipwa katika namna ya kipekee sana